Paroles de la chanson Unaniweza par Jux

Chanson manquante pour "Jux" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Unaniweza"

Paroles de la chanson Unaniweza par Jux

Abbah

[Jux]
Pindi ukicheka we, Mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororo
Ila ukilia wee, Hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi mdororo

[Jux]
Ukiwa karibu na mie, Najiona bora
Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
Uwepo wako we na mie, Umetia fora
We ndio dakitari, Darling, Nikitaka kupona

[ Jux]
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

[Jux]
Sitamani mwingine, Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto, Moto
Labda upite ushetani mwingine, Maneno ya watu nishazoea i don't care
Kila kukicha choko choko, Choko
Unavyonipa raha, Ndiyo nanepa mie
Penzi lako natinga, navimba nabembea
Kinachokufaaa, Usisite niambie
Kwako niko radhi hata zege nibebe, Machinga nidadishee

[Jux]
Ukiwa karibu na mie, Najiona bora
Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
Uwepo wako we na mie, Umetia fora
We ndio dakitari, Darling, Nikitaka kupona

[ Jux]
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza, I do it for love
For love
Unaniweza weza, I do it for love
For love
Unaniweeeza

Abbah

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment