Paroles de la chanson Sawa par Jux

Chanson manquante pour "Jux" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sawa"

Paroles de la chanson Sawa par Jux

Huna kama cha mapinzani
Kila siku matatizo
Inaniadhiri ndani kwa ndani
Naikosa chanjo oh hoo

Acha visa nazo unanikula moyo
Usingizi sipati 
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni

Nimeshika makali mpini wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, sawa

Huishiwi kisirani
Yaani kila muda umenuna
Sasa mimi nitaongea na nani?
I wish ungejua inavyouma

Yaani bora nilewe, usingizi sipati 
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni

Nimeshika makali mpini wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, sawa

Nimeshika makali mpini wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, sawa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment