Paroles de la chanson Tabibu par Ibrah Nation

Chanson manquante pour "Ibrah Nation" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Tabibu"

Paroles de la chanson Tabibu par Ibrah Nation

Tatizo ni nini mama,mbona hatuelewani
Umerudi usiku saana,na umeletwa na nani
swali ni rahisi saana, unazunguka tu
Ukishindwa unatukana na kununa juu

Natamani turudi enzi
Ulizoniitaga my darling
usiku unaniita tulale nikukumbatie
Nakumbuka yale mapenzi
Yalionifanya nisiwaze
Leo umenizoea unaniona mi fala wee

Naona kama nikuache... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu
Naona kama nikuachilie... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu

Siumeshajua unapendwa basi ndo nongwa
Visa mikasa haviishi kunizonga
Hata nijikome kwa zawadi najiroga
Pesa ntarudishiwa, nguo nitapondwa

Natamani turudi enzi
Ulizoniitaga my darling
Usiku unaniita tulale nikukumbatie
Nakumbuka yale mapenzi
Yalionifanya nisiwaze
Leo umenizoea unaniona fala wee

Naona kama nikuache... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu
Naona kama nikuachilie... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu

By show, I love you baby
Nilivyokufa kwako, Utanipa uchizi
Momy love, unashindwa kuniface
Unieleze tatizo unanidiscussi
Yeaaaah… Momy love

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment