Paroles de la chanson Magufuli par Ibraah

Chanson manquante pour "Ibraah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Magufuli"

Paroles de la chanson Magufuli par Ibraah

Mi kura yangu ni ya Magufuli 
Mwingine wa nini tena?
Hata wakileta ubabe
Kura yangu sitoigawa

Wapinzani watoke sufuri
Magufuli aongoze tena
Kwa ukubwa juhudi zake
Azidi kuyaweka mambo sawa

Mwenye busara mstahimilivu
Anayapinga maovu
Magufuli wa kujivunia
Sa kwa nini asipendwe?

Yaani kila idara yenye wazembe
Wenye kufanya maovu
Wenyewe tumeshuhudia 
Alivyowaweka pembeni

Darsalema mwendo kasi
Na flyover tupande, na upite
Kila kata ina zahanati
Magufuli haki ujigambe, na upite

Tunang'ang'ana hatukuachi
Magu kwa tena taifa ulijenge
Magufuli ulo jawa haki
Mwenyezi Mungu akulinde

Yaani we na mii
Wote tumchageue (Magu)
Magu, Magu tunampenda (John Pombe Magufuli)
Baba Johni Pombe, tuna imani na wee
Magu, Magu (John Pombe Magufuli)

Magu  mwenye moyo wa kuijenga Tanzania
Magu, Magu (John Pombe Magufuli)
Basi tumchague aende kumalizia palipobakia
Magu, Magu (John Pombe Magufuli)

Magufuli tusije mwacha tumwonyesheni dhamani
Tumwahidi kura atapata yaani ya wewe na mimi
Alivyo zikarabati rodi, baza kina mama wodi
Akajenga na mahakama ya kudhibiti mafisadi

Na kiboko ya wasiolipa kodi
Tanzania iko OG
Ulinzi kwa wamatinga
Na ulizi kwenye migodi

Mwenye busara mstahimilivu
Anayapinga maovu
Magufuli wa kujivunia
Sa kwa nini asipendwe?

Yaani kila idara yenye wazembe
Wenye kufanya maovu
Wenyewe tumeshuhudia 
Alivyowaweka pembeni

Darsalema mwendo kasi
Na flyover tupande, na upite
Kila kata ina zahanati
Magufuli haki ujigambe, na upite

Tunang'ang'ana hatukuachi
Magu kwa tena taifa ulijenge
Magufuli ulo jawa haki
Mwenyezi Mungu akulinde

Yaani we na mii
Wote tumchageue (Magu)
Magu, Magu tunampenda (John Pombe Magufuli)
Baba Johni Pombe, tuna imani na wee
Magu, Magu (John Pombe Magufuli)

Magu  mwenye moyo wa kuijenga Tanzania
Magu, Magu (John Pombe Magufuli)
Basi tumchague aende kumalizia palipo bakia
Magu, Magu (John Pombe Magufuli)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment