Paroles de la chanson Pipe Industries par Harmonize

Chanson manquante pour "Harmonize" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Pipe Industries"

Paroles de la chanson Pipe Industries par Harmonize

Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba
Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba

Sambamba na dira ya serikali ya awamu ya tano
Yenye nia ya kusambaza maji safi salama
Maji taka tunayatupa mbali elfu mbili ishirini na tano
Kote Tanzania tunywe yaliyo safi salama

Mmmh tuwakabidhi hilo jukumu Pipes Industry
Maana wengine kelele usidhubutu
Ndo mabingwa wa mabomba magumu Pipes Industries
Utatumia miaka milele hayashiki kutu

Tena hayatengenezwi mbali
Ni hapa hapa Tanzania
Wawekezaji hodari
Wazawa wa Tanzania

Mbomba imara ngangari 
Kivyovyote utavyotumia
Hata bei yake sio ghali 
Ni nafuu kwa Mtanzania yeyote

Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba
Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba

Mabomba haya hutumika
Kwenye miradi ya ujenzi
Kilimo umwagiliaji 
Hadi mogodi ya madini

Kupitisha maji taka kadhalika
Kupasuka hayawezi
Hata kwa wafugaji
Ndio chaguo lao niamini eeeh

Mabomba yanayokidhi ubora
Viwango vya taifa na kimataifa
ISO na TBAC

Tena hayatengenezwi mbali
Ni hapa hapa Tanzania
Wawekezaji hodari
Wazawa wa Tanzania

Mbomba imara ngangari 
Kivyovyote utavyotumia
Hata bei yake sio ghali 
Ni nafuu kwa Mtanzania yeyote

Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba
Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment