Paroles de la chanson KwaNgwaru par Harmonize

Chanson manquante pour "Harmonize" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "KwaNgwaru"

Paroles de la chanson KwaNgwaru par Harmonize

Mmhh I wish ningekuwaga na mavumba,
Mkwanja manoti, nikuhonge vya thamani
Ama niwe fundi wa kuigiza ka Kanumba,

Masanja, Joti usiwe mbali nami
Mhhh my darling I need your love ooh
Uwe nami, haki ya Mungu nakupenda
Nobody can show you love ooh
Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda

Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (iyelewi)
Deka nikudekeze, nikutunze kama mboni (iyelewi)
Wakija wapoteze, jifanye kama huwaoni (iyelewi)
Kisha uniongeze ulivofunzwa unyagoni (iyelewi)
Ooh baby, asa dance nikuone (kwa ngwaru)
Uwabamijo (kwa ngwaru), ululufemi (kwa ngwaru)
Ooh baby, asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wabamijo (kwa nwaru), basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

(Diamond)
Agha, moyo wangu wa muarobaini
Mchungu ukiuziwa
Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa
Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu pale niwa
Kumbatie baridini, kwenye tundu kama njiwa
Moyo wangu ni wa makuti, usinijie na kiberiti (asa wee)
Penzi likageuka chuki, nyumba ikawa Kibiti (asa wee)
Nipatie vya kitandani, nipe mpaka kwenye kiti (asa wee)
Ili asiniingie shetani, nawe nikaja kuku-cheat

Oh basi jilegeze, nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze, kwa miuno ya Kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze, nirudishe utotoni (iyelewi)
Weka mate niteleze, kama nyoka pangoni (iyelewi)

Oh baby asa dance kidogo (kwa ngwaru)
Ooh wabamijo (kwa ngwaru), ululufemi (kwa ngwaru)
Ooh baby asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Uwabamijo (kwa ngwaru), basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

(Diamond, Harmonize)
Agha, unataka kucheza chura na ingali umesimama (aa inama inama)
Asa waonyeshe (aa inama inama), unachezaje (aa inama inama)
Unataka maji ya kisima na muoga wa kuchutama (aa inama inama)
hebu waonyeshe (aa inama inama), unachotaje (aa inama inama)
Unataka kupiga deki, wima umesimama (aa inama inama)
hebu tuonyeshe (aa inama inama), unapigaje (aa inama inama)
Si unataka vya pool table sa mbona unajibana (aa inama inama)
hebu tuonyeshe (aa inama inama), unalengaje (aa inama inama)

(Diamond)
Hii! oya wanangu wa Kigogo (aa inama inama)
Nipe za Mose Iyobo (aa inama inama)
Vunja vunja kidogo (aa inama inama)
Aa niongeze mikogo (aa inama inama)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment