Paroles de la chanson I Miss You par Harmonize

Chanson manquante pour "Harmonize" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "I Miss You"

Paroles de la chanson I Miss You par Harmonize

Yeah yea, yeah yea

Only you, in my mind
Nahisi mwingine hakuna
Kwenye hii dunia
I don't know what you do, never mind
Hata salamu unauchuna, vimeseji nikikutumia
Ingawa silijui kosa, ila fanya unisamehe
Umeniadhibu vya kutosha, japo imani nionee

Oooh baby, nikilala naota, naota kama unaniita
Ila nafsi inasita, ipo siku nitaitika
Oooh nikilala naota, naota kama unaniita
Ila nafsi inasita, ipo siku nitaitika my baby
I miss you
I miss you

Ukiona mtu mzima ma
Analia ujue kuna jambo (I miss you)
Maji hayapandi mlima ma
Mi kiwete siwezi kwenda ng'ambo (I miss you)
Mmmh

Nilisacrifice my love for you (oooh ooh)
Leo unaniona sifai na matusi juu (oooh ooh)
Natamani urudi mama, Ila siwezi kukufosi fosi
Punguza makusi drama, hizo mbwembwe na maposti posti
Kutwa nashinda Insta, nazitazama zako picha
Usiombe bando likiisha, mi mpweke la yote tisa

Oooh, nikilala naota, naota kama unaniita
Ila nafsi inasita, ipo siku nitaitika
Oooh nikilala naota, naota kama unaniita
Ila nafsi inasita, ipo siku nitaitika my baby
I miss you
I miss you

Ukiona mtu mzima ma, Analia ujue kuna jambo (I miss you)
Maji hayapandi mlima ma, mi kiwete siwezi kwenda ng'ambo (I miss you)

Nikilala naota
Naota kama unaniita
Ila nafsi inasita mpenzi
Ipo siku utaitika

Nikilala naota
Naota kama unaniita
Ila nafsi inasita mpenzi
Ipo siku utaitika

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment