Paroles de la chanson Dear X par Harmonize

Chanson manquante pour "Harmonize" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Dear X"

Paroles de la chanson Dear X par Harmonize

Inaniumiza ring Hello

Hello Dear X, Nimepata tetesi
Za kwamba unanisema ili nionekane si mwema
Pengine unastress maana umekonda mwepesi
Kwangu ukimya sio ukilema ila nachunga vya kusema
Maana niliubeba msalaba ikawa mi ndo mama mi ndo baba
Nikachanga tujaze kibaba Mbona hausemi
Kiume nilishukuru nikapangusa matako nikakuacha uende
Ukawe huru, Range na duka ni vyako mi nibaki na makende

Kama ulizani nitafeli unangoja basi uko feli
Siku nikilewa nitasema ukweli nchi ilivyogubikwa na matapeli
Sina hasira wala kinyongo ila sipendi uongo
Vijembe jembe na madongo ukitaka kutrend

Round hii hainaga (haina kutia huruma) hainaga kutia
Hivi ndio niseme nimejipata (hainaga kutia huruma) hainga kutia
Maana mbona nazidi kutakata (haina kutia huruma) hainaga kutia
Hainaga haiii haiiii (hainaga kutia huruma) hainga kutia

Ehh Peke yangu nisingeweza
Nisingeweza kuna kitu Mungu kaniongeza, kaniongeza
Ona nazidi kupendaza nina pendaza na nipo bize na fedha
Unacheka tukuone ume move on mara unatuonesha vya nguoni
Uhaligani uko moyoni sema sema
Unacheka tukuone ume move on mara unatuonesha vya nguoni
Uhaligani uko moyoni sema sema

Na kama ulizani nitafeli unangoja basi uko feli
Siku nikilewa nitasema ukweli nchi ilivyogubikwa na matapeli
Sina hasira wala kinyongo ila sipendi uongo
Vijembe jembe na madongo ukitaka kutrend

Round hii hainaga (haina kutia huruma) hainaga kutia
Hivi ndio niseme nimejipata (hainaga kutia huruma) hainga kutia
Maana mbona nazidi kutakata (haina kutia huruma) hainaga kutia
Hainaga haiii haiiii (hainaga kutia huruma) hainga kutia

Ring Hello Dear X

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment