Paroles de la chanson Siezi Kosa par
Kakishika basi si katambe
Tumekam piga lapi zi upande
Nimedunga Nike ndio mguu isigande
Always on the hustle ndo nipate kaganji
I'll be on my zone so cheki siwezi kosa
Nina mbosho na matunes nimejazaga manoti
Cheki siwezi kosa
Kakibidi itabidi nimekopa cheki siwezi kosa
Nina mbosho na matunes nimejazaga manoti
Cheki siwezi kosa
Kakibidi itabidi nimekopa
Moja kwa moja cheza kwa kocha
Msichana Wabosha kuja naguza
Kuja na pupa rudi na papa
Tumekam piga lapi zi upande
Nimedunga Nike ndio mguu isigande
Always on the hustle ndo nipate kaganji
I'll be on my zone so cheki siwezi kosa
Nina mbosho na matunes nimejazaga manoti
Cheki siwezi kosa
Kakibidi itabidi nimekopa cheki siwezi kosa
Nina mbosho na matunes nimejazaga manoti
Cheki siwezi kosa
Kakibidi itabidi nimekopa
Moja kwa moja cheza kwa kocha
Msichana Wabosha kuja naguza
Kuja na pupa rudi na papa
Alhamdullilahi mwenye haga apande bike
Walai niko high, niko high sija lie
Nikikuja mnazirai hao madem nawadai
Hata nywele nilidie siku hizi ninadai
Sijalie sijalie Alhamdullilahi
Moja kwa moja cheza kwa kocha
Msichana Wabosha kuja naguza
Kuja na pupa rudi na papa
Nitabuy nitabuy, sijalie sijalie
Walai niko high, niko high sija lie
Nikikuja mnazirai hao madem nawadai
Hata nywele nilidie siku hizi ninadai
Sijalie sijalie Alhamdullilahi
Moja kwa moja cheza kwa kocha
Msichana Wabosha kuja naguza
Kuja na pupa rudi na papa
Nitabuy nitabuy, sijalie sijalie