Paroles de la chanson Corona Virus par Fenny Kerubo

Chanson manquante pour "Fenny Kerubo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Corona Virus"

Paroles de la chanson Corona Virus par Fenny Kerubo

Eeeeeeh huh eeeeeh huh Neogechi heee
Ameghadhabishwa Neogechi heee sababu ya 
Maovu yetu weeee Neogechi  dhambi zetu eeeeeh Neogechi weee

 wahubiri mko wapi Sasa Waimbaji mko wapi sasa
Wachungaji mko wapi sasa Walokole mko wapi Sasa  Wakristo mko wapi Sasa nyinyi
Taifa inapoangamia x2 nchi yetu inapoangamiax2

Wametawanyishwa kwa jina langu Mimi
Naskia kilio Chao na kuiponya nchi yao heeex2
Uchikire uyaseyasene 
Tuangamiza 
Corona virus inatetemesha nchi
Corona virus yatikisha
Monera morere
Morangeiro morero
 Wametawanyishwa kwa jina langu eeeeh

Naskia kilio chao na kuiponya nchi yao eeex2
Anasema kwamba anaskia kilio chetu na ataiponya nchi yetu
Macho yake yatafunguka na ataskia maombi ya watu wake
Watumishiii
Omba omba omba omba
Wahubiri mko wapi Sasa 
Waimbaji mko wapi sasa
Walokole mko wapi Sasa
Wakristo mko wapi Sasa
Taifa linapo angamiax2
Nchi linapoangamiax2

Ghadhabu imewaka juu ya nchi hii
Nani akasaidia nani atatuponya sisi 
Ni yeye tu Mungu Ni yeye tu Bwana
Serikali haina uwezo 
Ni fungo Ni fungo Ni fungo Ni fungo

Acheni dhambi zenu nirudieni Mimi 
Waimbaji nakuomboleza

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)