Paroles de la chanson UTAWEZANA par Femi One

Chanson manquante pour "Femi One" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "UTAWEZANA"

Paroles de la chanson UTAWEZANA par Femi One

Femi, ndo ule Mejja, ndo ule Mejja
Si ulikuwa unadai kuchapiana naye
Ishia ishia ishia

(Ricco Beatz, Mr 808)

Okonkwo pole nimekuja ghafla (Usijali)
Ni vile we hukuwa umenibamba
Aah Femi One pia kwangu we ni msoo
Kwanza vile ulituosha kwa ile verse ya 'Ligi Soo' eeh
Nakupenda manze we hukuwa mhumble (Asante)
Legend, kwangu we ni icon
Aah stori za icon kwanza weka mbali
Femi One mi hukuwa nimekutamani
Eeh, Okonkwo umeanza kunichocha (Ah zii)
Nishow ni wapi uliniona
Aah Femi One (Eeh) we unibamba
Kwa Instagram nikicheki izo mapaja
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbla

Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbla
Iko haga yako iko
Naipenda ka mke nyumbani na mwiko
Mejja umeanza kuniflirt, aaah
Unataka kunikula kama plata
Hiyo kifua nataka kuichambua
Mi nataka kukulamba mpaka ushindwe kupumua ah
Kidesign umeanza kunibamba
Nikikupea usiende kutangaza
Ah, hiyo ni siri (Wazi) ka pin number
Sitaambia mtu sitaambia hata King Kaka
Haina noma leo utanikula
Lakini ka ni ndogo usishinde ukikuja (Aaah)
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbla
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbla
Napenda machali wako na swagger (Okay)
Nikicheki fashion yako hapana
Femi One hao machali looku looku
Ni looku tu lakini hawana kakitu
Ah! Nataka kurombosa hadi chini
Ah! Nataka kuikota huko chini
Ah! Napenda kupakua nikiwa juu
Ah! Siteti, napenda hiyo view
Fungua bonnet (Okay) toa screw (Aha)
Mbona unanidai na usiniambie uongo
Ah! Nakudai juu umetoka ghetto
Na we ni manzi hardcore manzi mathongo
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbla
(Ah! Femi Uno, mtoto wa Khadija)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment