Paroles de la chanson Baba Inuka par
Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala
(Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala)
Hausinzii wala haulali, ewe mlinzi wangu
Umenizunguka pande zote, ewe Mungu Wangu
Umenihifadhi, Katika uwepo wako
(Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala)
Nakutazama Jehovah, Msaada wangu watoka kwako
Tumaini langu, liko kwako, Kwa imani sitingiziki
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala
(Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala)
Hausinzii wala haulali, ewe mlinzi wangu
Umenizunguka pande zote, ewe Mungu Wangu
Umenihifadhi, Katika uwepo wako
(Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala)
Nakutazama Jehovah, Msaada wangu watoka kwako
Tumaini langu, liko kwako, Kwa imani sitingiziki
Umetawala maishani mwangu, oooh baba
(Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala
Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala)
(Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala
Baba Inuka, Tawala
Simba wa yudah Tawala
Mfalme wa sayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala
Simba wa yudah, tawala, mfalme wa zayuni, tawala)