Paroles de la chanson Tumeshinda par Eunice Njeri

Chanson manquante pour "Eunice Njeri" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Tumeshinda"

Paroles de la chanson Tumeshinda par Eunice Njeri

Jeshi la bwana amka, tuvae silaha twende
Tuimbe tushangilie, maana yote yawezekana
Jeshi la bwana amka, tuvae silaha twende
Tuimbe tushangilie, maana yote yawezekana oh
Hakuna asiloweza
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba

Let the army of God arise
With the amor of God arise
Sing and shout to the king of kings
All things are possible
And nothing is impossible
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba

Tumezungukwa na majeshi ya mbinguni
Tumezingirwa na uwepo wako mungu
Tumezungukwa na majeshi wa mbinguni
Tumezingirwa na uwepo wako mungu
Tumezungukwa na majeshi ya mbinguni
Tumezingirwa na uwepo wako mungu
Tumezungukwa na majeshi wa mbinguni
Tumezingirwa na uwepo wako mungu
Tumezungukwa na majeshi ya mbinguni
Tumezingirwa na uwepo wako mungu

Come and lift your hands to Jesus
Aaah aaah aaah
Aaah aaah aaah
Aaah aaah aaah

Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda sisi eeeh

Tumeshinda yay yay (ona ona)
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda yay yay (ona ona)
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba
Tumeshinda kwa jina la Yesu
Tumesimama kazi ya msalaba

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment