Paroles de la chanson Pandana par Ethic

Chanson manquante pour "Ethic" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Pandana"

Paroles de la chanson Pandana par Ethic

35/60
Outta Umojamaica
Prrrrr Kang Kang

Banana, ninayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Madibala nazimanya, nika niko ndonyo
Nikidungi nimepaka na itachoma mboto
Nikidudu nikinyanya napoteza toko
zikidundi, zikinyanya nazipeleka soko

Kando ya tapo,  machapo mpaka itoe dodo 
Pigwa finger na kidole kimejaa mangoto
Nayo theo hapana na lock, tunapiga koto
Sampe gwara lock, tupa ka ana joto

Banana, ninayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Shandana 
Kaa ni mblaina inabidi aweke lawama
Toka teke cheki banger basi ulala
Toto yako iyeke fiti nitaikulala
Under water nakwambia 'shaitangaza
(mmmh hhhmmm)
Nakwambia 'shaitangaza
Ni nare come na shadda tutaiwashana
Pale zabe macho zangu zimenyanyana
Iko ready imesteady na ni

Banana, ninayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na Sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Mpate ametii ako lit 
Bila pupa atawafeast
Kwanza akianza story za matapa tapa ndani ya boo
Donda kumdandia atamdandia mpaka kesha
Ati nguna anadaisha mboko bigi kaa amepewa
Donda anadandia ndae ora ora don don
Donda anachangia ngwai oya oya don don 
Alafu anakazia ngwai oya oya don don

Banana, ninayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment