Paroles de la chanson Kamata par Esir

Chanson manquante pour "Esir" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kamata"

Paroles de la chanson Kamata par Esir

Ogopa Police Station presents
Inspector E-Sir and Lenny
Uh, tumekuja kuwashika!
Tumekuja kuwashika!
Hallo, mko wapi wadada?
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
 (Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
 
Nipe mic, maji na mafuta
Kibiriti, nipate kuwachemsha
Speaker mbili, tupate kuwaamsha
Ili na mic tupate kuwachoma
Kisha wapate kucheza hizo ngoma
Kwa sababu kila mtu anajua hakuna traki
Ambayo inagonga kama traki ya Ogopa
(Boom-ba, boom-ba, boom-ba)
 
Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
 
[Lenny]
Tunaposhika mic twasema tena tuna flow
Pamoja basi sasa tunacheza hizo songs
Wajameni kujeni mskie hii flow
 
Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
 
Huu mwaka
Ka moto, tutawaka
Na wote walioongea taka taka
Bila shaka, wata (Shh!)
Huu mwaka
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment