Paroles de la chanson Peke Yangu par Enock Bella

Chanson manquante pour "Enock Bella" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Peke Yangu"

Paroles de la chanson Peke Yangu par Enock Bella

Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu

Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Usijeniua

Kweli uzuri sio sura ma
Hata na tabia nazochangia
Nilikupa penzi kwa mikono yangu miwili
Wasema leo nakuigizia

Wataka zima penzi uondoke na mshumaa
Mbona ndio kwanza ninaanza kolea?
Nimeandaa shamba na mbegu nikapanda
Waotesha magugu kwenye mbolea
 
Eeh, eti unaondoka unaondoka unaondoka
Kuishi nami we huwezi umechoka
Nami nimevishindwa vyako vibwege
Sawa sawa

Maroho kwako nashoboka
Hutaki niseme na watu kwa kukuogopa
Umenivalisha vyeo vingi vya ulofa
Haiya ya haiya

Mbona sivyo
Sivyo tulivyokubaliana
Uje unitese hadharani hadharani
Wanirudisha nyuma

Yakuwa tukifika mbele je kuniumiza moyo
Sivyo tulivyokubaliana
Ee, kupenda mimi basi
Wanirudisha nyuma, bora iwe basi

Mwanzoni wa mazuri ila mwisho we ni utoto
Naogopa sana kutiana tumbo joto
Mbona nijitenge na mwisho nile chocho
Chocho msoto unizoee

Kwani umesahau ahadi miadi
Ya kuwa tukivuka mwaka huu ndoa
Hivi una nini hauna kusudi?
Tatizo si kupenda ila mazoea

Eti unaondoka unaondoka unaondoka
Kuishi nami we huwezi umechoka
Nami nimevishindwa vyako vibwege
Sawa, sawa
 
Maroho kwako nashoboka
Hutaki niseme na watu kwa kukuogopa
Umenivalisha vyeo vingi vya ulofa
Haiya haiya haiya

Mbona sivyo
Sivyo tulivyokubaliana
Uje unitese hadharani hadharani
Wanirudisha nyuma

Yakuwa tukifika mbele uje kuniumiza moyo
Sivyo tulivyokubaliana
Eeh, kupenda mimi basi
Wanirudisha nyuma, bora iwe basi

Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Usijeniua

Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Heri niwe peke yangu
Usijeniua

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)