Paroles de la chanson Hana Huruma par Enock Bella

Chanson manquante pour "Enock Bella" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hana Huruma"

Paroles de la chanson Hana Huruma par Enock Bella

Niko na chemsha ubongo
Sijui wapi nianzie
Tena napoteza malengo wouwou
Mtunze niumie

Niliyempenda
Ati naye kapenda kwingine
Usinione nakonda
Waka sikondi na mengine

Ana mapenzi ya kibabe babe
Anachotaka yeye ale ashibe
Nikikosa nikabe kabe 
Ili mradi ajiridhishe

Ana mapenzi ya kibabe babe
Anachotaka yeye ale ashibe
Nikikosa nikabe kabe 
Ili mradi yaani aridhike

Nimejipa moyo 
Kuwa ye nitadumu naye tu
Kwenye maisha yangu 

Nimejipa moyo 
Kuwa ye nitadumu letu
Ndo awe mke wangu

Ila hana huruma
Hana huruma
Hana huruma, hana huruma
Hana huruma kweli na mimi

Usiku wa manane anatweka tweka
Sina tofauti na mlinzi mbwa anayebweka
Ona anadina mimi kwake lofa
Tena sina zaidi mi kukuwa jinga

Kwanini kwanini
Anafanya huzuni
Kumpenda nampenda kweli kweli
Vipi awe hivi?

Ana mapenzi ya kibabe babe
Anachotaka yeye ale ashibe
Nikikosa nikabe kabe 
Ili mradi ajiridhishe

Ana mapenzi ya kibabe babe
Anachotaka yeye ale ashibe
Nikikosa nikabe kabe 
Ili mradi yaani aridhike

Nimejipa moyo 
Kuwa ye nitadumu naye tu
Kwenye maisha yangu 

Nimejipa moyo 
Kuwa ye nitadumu letu
Ndo awe mke wangu

Ila hana huruma(Hana mapenzi ya kweli)
Hana huruma
Hana huruma, hana huruma
Hana huruma kweli na mimi

Kwanini mapenzi 
Yanaumiza roho
No no no no 
Yanaumiza kweli

Mbona singekuwepo
Ningekuwa futari

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment