Paroles de la chanson Chukua par Enock Bella

Chanson manquante pour "Enock Bella" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Chukua"

Paroles de la chanson Chukua par Enock Bella

Kidawa kaja kwetu nimpe jogoo
Namwonea huruma bado ndugu
Ana uzito wa kubeba kugu
Analeta uzushi yaani zogo

Anawatibua waliolala
Haka katoto kana masihara
Jogoo ana kiuwikia jala
Anawatania wanyoa vipara

Shida wakaning'ang'ania ng'ania
Hadi aende na kuku, hadi aende na kuku
Anaonekana kapania pania
Ona kaja usiku

Chukua, ukimuona, chukua
Papasaa hadi kwenye kona
Chukua, ukimuona chukua
Tazama yule aliyenona, chukua

Ukimuona, chukua
Inama hadi uvunguni, chukua
Ukimuona, chukua
Mpaka mabanda ya uani

Kidawa hivi unajua kufuga
Au unataka tu kumvuruga
Na bibi yako kwa kupenda mboga
Hatochelewa kumla na mboga

Hodari wa kuamsha monii, mapema
Wakati bado yupo bandani, akihema
Hajawai kufumwa ugoni, kadema
Si umchunge wasije kumuiba

Shida wakaning'ang'ania ng'ania
Hadi aende na kuku, hadi aende na kuku
Anaonekana kapania pania
Ona kaja usiku

Chukua, ukimuona, chukua
Papasaa hadi kwenye kona
Chukua, ukimuona chukua
Tazama yule aliyenona, chukua

Ukimuona, chukua
Inama hadi uvunguni, chukua
Ukimuona, chukua
Mpaka mabanda ya uani

Usije ukafanya vibwanga
Ukaniletea utoto (Alee) ukaniletea 
Ukampea uganga
Ukaniletea utoto, ukaniletea

Mara kabebwa na kipanga
Ukaniletea utoto, ukaniletea
Wakati kafungwa kamba

Chukua, ukimuona, chukua
Papasaa hadi kwenye kona
Chukua, ukimuona chukua
Tazama yule aliyenona, chukua

Ukimuona, chukua
Inama hadi uvunguni, chukua
Ukimuona, chukua
Mpaka mabanda ya uani

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment