Paroles de la chanson Kaa Mbali par Elani

Chanson manquante pour "Elani" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kaa Mbali"

Paroles de la chanson Kaa Mbali par Elani

Je unasikia ninapokuombea
Ninavyokingojea
Mikononi mwangu, yeah
Je wakumbuka tulipotoka
Nilipokuona na macho yangu

Naomba atachoma
Naomba atavunja moyo wako mara saba
Akose msamaha, aseme amechoka
Afanye penzi lenu nalo liwe taka taka
Unikumbuke

Mbali mbali mbali mbali
Mbali mbali mbali eh nana
Mbali mbali mbali eh nana
Mbali mbali mbalo eh nana (Eh nana)

Mbali mbali mbali eh nana
Mbali mbali mbali eh
Kama hunipendi kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami

Sitaki urafiki kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami
Kama hunitaki kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami

Sitaki urafiki kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami
Mbali mbali mbali eh

Watu wengine wala hawataki ujuaji
Ulidhani bila wewe jua halilali
Ukanikera nafsi

Mi nawe tulifagilia Tanzania
Penzi letu lilirun dunia
Utashinda jichocha na mabandia

Na najua atachoma
Najua atavunja moyo wako mara saba
Akose msamaha, naomba atachoka
Alifanye penzi lenu nalo liwe taka taka
Unikumbuke

Mbali mbali mbali mba
Mbali mbali mbali eh nana
Mbali mbali mbali eh nana
Eh nana

Mbala mbali mbali eh nana
Mbali mbali mbali beh
Kama hunipendi kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami

Sitaki urafiki kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami
Kama hunitaki kaa mbali nami
Kaa mbali nami, kaa mbali nami

Sitaki urafiki kaa mbali nami
Kaa mbali nami
Mbali mbali mbali beh

Naomba atachoma
Naomba atavunja moyo wako mara saba
Mmmmmmmh, aseme amechoka
Afanye penzi lenu nalo liwe taka taka

Haha, mbali mbali mbali beh
Kama hunitaki kaa mbali nami,
Kaa mbali nami (mbali mbali mbali eh nana)
Sitaki urafiki kaa mbali nami

Kaa mbali nami (mbali mbali eh nana)
Kama hunitaki kaa mbali nami,
Kaa mbali nami (mbali mbali mbali eh nana)
Sitaki urafiki kaa mbali nami,
Kaa mbali nami (mbali mbali mbali eh nana)
Mbali mbali mbali beh

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)