Paroles de la chanson Nuru par Dogo Janja

Chanson manquante pour "Dogo Janja" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nuru"

Paroles de la chanson Nuru par Dogo Janja

Akikaa na mashoga zake sifa kwangu mimi
Anadai ni mimi tu mwingine wa nini?
Alivyo ni beautiful nashindwa kuamini
Minywele misinga singa macho kama jini

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite
You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite

You make me say, we ni nuru
We ni nuru, we ni nuru
She make me say, we ni nuru

Better wakiniita Babylon
Ilimradi nakufuata mi sioni

When you walk(When you walk)
Ujue unanichosha kabisa
Na uki booty bounce 
Mie unaniroga kabisa

Me and you till I die
Till I die
Nitakufuata mpaka mwisho wa uhai
Mwisho wa uhai

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite
You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite

You make me say, we ni nuru
We ni nuru, we ni nuru
She make me say, we ni nuru

Come close, come closer
Tonight ooh come closer
Beiby come closer

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment