Paroles de la chanson Nare Nare par Dmore

Chanson manquante pour "Dmore" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nare Nare"

Paroles de la chanson Nare Nare par Dmore

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa beiby, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Jeshi yangu ngori na sina ubaya
Si useti gode na ni mambichwa
Wadau ghetto kuburudika
Ma-empress niku thigidishwa

Ka ni ngono hawatakoma
Mangoko twazimanga manga
Passa passa ka addi ticha
Mapoko.T nitahanda vuva

Who dea, who dea, huita bae
Fat body, uite gute gute
Go down low mummy, cheza gude gude
Mi ni guze guze mpaka ustuke tu eeh

Niku kune kune, 
Underwater chini ya maji nikukumbe kumbe
We mtamu supu tamu ka ya kunde kunde
Kitandani mtihani twende shule shule
Now you know 
Ni mashash na kibenga

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)

Niko na moto naeka moto ya Eveready
Ukikam utanipata nimesteady
Makejani am waiting for you beiby
Nimepika kahawa na pia njoti
Hunny mtam, creamy creamy kama keki
Niletee huto tunyodo twaku tunini
Nishike tight beiby kama polisi
Napenda ukidunga tight ama mini

Man a badman nimeland na kibeng(Na kibeng)
Hawa wasupa wanadai niwabang(Niwabang)
Pori niko locked lakini sina belt(Sina belt)
Ju natakaga nimpate tu kwa bed(Tu kwa bed)

She is so notorious nanga bigi ka Rakishi
Ananimada Hitman hii ni mazishi
Big butt gyal kisura hanitishi
Iwe kando ama ndani tutazidi 

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)

Whine whine, ni kunoma nina manguna ka wanne
Ni saa nane wamenidara toka saa nne
Mi ni love child, unaeza dhani Wyre
Ah, beiby Bamdigida, jiachilie piga chok ya mzinga
Ah, niangalie wacha vako za kuringa
Si unapenda hizo mangoto jo kwa finger
Mama ringa

Siwezi shika hiyo matako kama uko kwa mamako
Fika 35, nikuweke pahali pako
Toa jasho, hiyo design ya wachinku wakiwa kwa rodi
Leo gizani ni manduru zinajaa kwa ploti
Team 'matako' was an anthem
Call your bff maybe we could make it happen
Lakini aki shh zitamfanya kuwa horny
Tukampiga combi ju tulikuwa na mbogi

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de
Bamdigida, whine whine bae
Washa washa bae, luku luku de

Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)
Ah, nare nare(Nare nare)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)