Paroles de la chanson Waah! par Diamond Platnumz

Chanson manquante pour "Diamond Platnumz" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Waah!"

Paroles de la chanson Waah! par Diamond Platnumz

Anachukua anaweka Waah!
Le général Dangoté
Anachukua anaweka Waah!
Le grand Mopao
Anachukua anaweka Waah!
Boss ya mboka
Anachukua anaweka Waah!

Taamu kupendwa nawe, taamu nasikia
Tamu kupendwa nawe
Taamu kupendwa nawe, tamuuu..
Tamu kupendwa nawe

Oh maneno maneno, tumeyazoea
Vijineno neno, tushazoea
Wapenzi wangu ku-party
Kwani ninawahusu?

Shepu yake mbaya, hivi inawahusu?
Udangaji umalaya, wao inawahusu nini?
Wamegusa pabaya na mwaka huu
Lazima wachuchumae

Wameingia cha kike (Hewaa)
Cha kike
Wameingia cha kike
Cha cha kike

Wameingia cha kike (Kwa penzi letu)
Cha kike (Lazima wachuchuma)
Wameingia cha kike (Kwa penzi letu)
Cha cha kike

Aah Bakokote Babu Tale
Don Mendez, Ba Junior 

Chumbani Hennessy
Hunipatia panadol (Pain killer)
Kuchenga za Messi
Na mashuti ya Ronaldo

Yaani ndani nikiingia tu
Anachukua anaweka Waah!
Ah kwenye gari
Anachukua anaweka Waah!

Iwe jikoni au varandani
Anachukua anaweka Waah!
Doze doze, doze doze
Anachukua anaweka Waah!

Yaani baadae salama joto
Toa leso nipepee (Mkubwa Fela)
Oya kombo joto
Toa leso jipepee

Oya mzee kunami, jipepee
Oh Ricardo Momo, jipepee
Oya mama Ndangote, jipepee
Eeh Doni Fumbwe, jipepee

Juu juu, jipepee
Juu juu juu, jipepee
Juu juu, jipepee
Juu juu juu, jipepee

--
[Koffi Olomide]
Na se! Na se!
Na se! Na se!

Vuka ma, vuka ma mwana
Vuka ma, vuka ma mwana
Vuka ma, vuka ma Diamond
Vuka ma, vuka ma kwanda
Vuka ma!

Eh papa Mobimba aye
Papa Mobimba aye
Papa Mobimba aye
Papa Mobimba aye

Alobaka te anyataka trop akokaka te Sukuma aa Yes
Tshuma tshuma tshuma tshuma tshuma
Anyataka trop alelaka trop alingaka trop kanga ye Yes !
Tshuma tshuma tshuma tshuma
Fukama Fukama Fukama Fukama
Fukama Fukama Fukama Fukama

Papa ngwasuma, papa ngwasuma (Joseph Kusala)
Papa ngwasuma, anzeli gwasuma
Dar es Salaam ngwasuma (Anko Shamte)
Diamond ngwasuma
Kinshasa ngwasuma
Qatar gwasuma

Eeeh aaah!!
Eeeh Weeeh!!

Usiniguse, usinitouch
Tusalimiane kwa miguu
Usiniguse, usinitouch
Tusalimiane kwa miguu

Ooh nasema usiniguse, usinitouch
Salamu iwe kwa miguu (Tusigusane)
Usiniguse, usinitouch
Tusalimiane kwa miguu

Ooh kwanza kaa mbali
Corona coro, corona coro
Mwenzako naogopa
Corona coro, corona coro

Kwa tena vaa maski
Corona coro, corona coro
Mikono yako kuosha
Corona coro, corona coro

(Ayolizer)

Today is today
The boss, the boss, the boss
On vous a parlé de nos deal 
On vous a parlé de nos fortunes
(Ehh mopao mokonzi eh eh)

(Wasafi)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment