Paroles de la chanson Unachezaje par Diamond Platnumz

Chanson manquante pour "Diamond Platnumz" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Unachezaje"

Paroles de la chanson Unachezaje par Diamond Platnumz

Mfukoni nina kiti (mati)
Mkononi kai (mati)
Naskia kuna kiki (wapi)
Nije kujimwaga (kati)
Oooh haitoshi, kalitaka simba la baba kaletewa
Oooh my gosh, sasa kazima anataka kubebewa
Oooh haitoshi, kalitaka simba la baba kaletewa
Oooh my gosh, sasa kazima anataka kubebewa
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje

Ilikuwa mbilil 4 4, pale pale (pale pale)
Dawa ya show show show
Nahisi ndale (nahisi ndale)
Peleka vuta, taratibu songa pupa
Dereva shusha hapo mbele kwenye kuta
Huu ni mti gani (wa mchongaoma)
Ukiukata (haukatiki)
Sisi ni mti gani (wa mchongoma)
Wakitukata (hatukatiki)
Sasa waonyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje

Po po li po li po po po po po po la
Po po li po li po po po po po po la
Po po li po li po po po po po po la
Waambie chombo (kinapepea)
Eeh chombo (kinapepea)
Huwaga chombo (kinapepea)
Kile chombo (kinapepea)
Aaah weeh
Acha
Aah weeh

Huo mnazi (unakatika)
Mnazi (unakatika)
Mama mnazi (unakatika)
Ona mnazi (unakatika)
Ukitaka kukatika (hukatika)
Kati kati (kati kah)
Huo mjumba (unabomoka)
Mjumba (unabomoka)
Mama mjumba (unabomoka)
Ona mjumba (unabomoka)
Ukitaka kubomoka (hubomoka)
Bobo bobo bobo boh

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)