Paroles de la chanson Natulizana par Diamond Platnumz
Chanson manquante pour "Diamond Platnumz" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Natulizana"
Proposer une correction des paroles de "Natulizana"
Paroles de la chanson Natulizana par Diamond Platnumz
Changanya tende na maziwa
Havifikii utamu wako
(Mnh nnh nnh)
Wanipe embe au juice ya miwa
(Oooh oooh oooh)
Mie ntakunywa tu wewe hapo
(Mnh nnh nnh)
Unyagoni ulipochezwa
Hivi somo yako nani
Maana unayoninogeza
Kwangu ni mageni yani
Namaliza vingereza
Mara ooh I'm coming
Mengine siwezi kueleza
Maana haya hadharani
Havifikii utamu wako
(Mnh nnh nnh)
Wanipe embe au juice ya miwa
(Oooh oooh oooh)
Mie ntakunywa tu wewe hapo
(Mnh nnh nnh)
Unyagoni ulipochezwa
Hivi somo yako nani
Maana unayoninogeza
Kwangu ni mageni yani
Namaliza vingereza
Mara ooh I'm coming
Mengine siwezi kueleza
Maana haya hadharani
Halafu sipendi unavyonispoil sana
Vi-gift gift mwenzio unanchanganya
Eti nakosa mimi unaniomba wewe msamaha
Huko kunipenda embu punguza bana
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Vichepuchepu vya mjini mafua
Mivumbi la nini chafya
Kichefuchefu ya nini wajetibua
Unichukie uje niacha
Halafu huku kususa we unajua
Ni utoto nikikua nitaacha
Tukigombana wahi kuniblokua
Ukichelewa puuh nafwa
Unyagoni ulipochezwa
Hivi somo yako nani
Maana unayoninogeza
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Vichepuchepu vya mjini mafua
Mivumbi la nini chafya
Kichefuchefu ya nini wajetibua
Unichukie uje niacha
Halafu huku kususa we unajua
Ni utoto nikikua nitaacha
Tukigombana wahi kuniblokua
Ukichelewa puuh nafwa
Unyagoni ulipochezwa
Hivi somo yako nani
Maana unayoninogeza
Kwangu ni mageni yani
Namaliza vingereza
Mara ooh I'm coming
Mengine siwezi kueleza
Maana haya hadharani
Halafu sipendi unavyonispoil sana
Vi-gift gift mwenzio unanchanganya
Eti nakosa mimi unaniomba wewe msamaha
Huko kunipenda embu punguza bana
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Namaliza vingereza
Mara ooh I'm coming
Mengine siwezi kueleza
Maana haya hadharani
Halafu sipendi unavyonispoil sana
Vi-gift gift mwenzio unanchanganya
Eti nakosa mimi unaniomba wewe msamaha
Huko kunipenda embu punguza bana
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulia dear
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
(Natulia)
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulia dear
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Ooh ooh oooh
Nami natulizana
(Natulia)
Ooh ooh oooh
Tupendane kiama
Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)
