Paroles de la chanson Chitaki par Diamond Platnumz

Chanson manquante pour "Diamond Platnumz" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Chitaki"

Paroles de la chanson Chitaki par Diamond Platnumz

We ndo kitumbua we ndo sambusa
Basi njoo unichum baby ndo tuseme umesusa
We ndo mwisho wa reli
Kwako nimeweka nukta
Walokwambia nala zuchu sio kweli wanazusha
Wanao kaa vikao sisi kutujudge
Wape pole yao wanatwanga maji
Nawaongeze bidii kwenye mlogaji
Tupo ten gb penzi full charge

Fanya wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta
Mi kuachana na wewe aku!

Chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi
Kuachana na wewe
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi

Mchana nikupe tango usiku ndizi swadakta
Tuanze fanya mambo kabla umeme hawajakata
Mapenzi mwenzie kiwango na umejariwa taranta
Na unanijua kwa jambo hatoki mtu kwa mkapa
Eeh! Aaah
Amuli chi chi chi
Amuli chacha chacha
Kamoyo ti ti ti nimeozaje sasa
Amuli chi chi chi
Amuli chacha chacha
Kamoyo ti ti ti nakuachaje sasa
Wanao kaa vikao sisi kutujudge
Wape pole yao wanatwanga maji
Nawaongeze bidii kwenye mlogaji
Tupo ten gb penzi full charge

Basi fanya
Fanya wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta
Mi kuachana na wewe aku!

Chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi
Kuachana na wewe
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment