Paroles de la chanson Pande par David Wonder

Chanson manquante pour "David Wonder" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Pande"

Paroles de la chanson Pande par David Wonder

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

(Alexis on the Beat)

Nimeng'ang'ana na wokovu wangu
Nikianguka nainuka nasonga (Songa sana)
Nimepambana ingawa moyo wangu
Unaamini saa zingine wakana

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Niulize, nikwambie
Kuna utamu kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu

Niulize, niulize nikwambie
Kuna uhuru kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu

Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa 

Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Upande wako ndo napatikana
Hakuna uchungu na laana 
Upande wako ndo napatikana

(Kwa Yesu sihami)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment