Paroles de la chanson Twaendana par Ben Pol

Chanson manquante pour "Ben Pol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Twaendana"

Paroles de la chanson Twaendana par Ben Pol

aaah ahhh aaahh
uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha tuishi wote daima

uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha nakushaka naneee eeeeh eeehh nanee eeeh eeh
siku nyingi nimetafuta nikaimba nikikupata
niliamini siku moja nitakutana nawe
nami namshukuru mola kwa kunipa binti mmoja mwaminifu mwenye sifa
si mwingine niwe nami namshukuru mola kwa kuniletea mke mzuri mwenye sifa nimezunguka kote hakuna kama we

walimwengu kazi yao kuvuruga ya wenzao watataka kututenganisha usiwajali
we ndo wa maisha
leo namshukuru mola kwa kunipa binti moja mwaminifu tena mwenye sifa simwingine niwe leo namshukuru mola kwakuniletea mke mzuri
mwenye sifa nimezunguka kote hakuna kama weee

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment