Paroles de la chanson Sophia par Ben Pol

Chanson manquante pour "Ben Pol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sophia"

Paroles de la chanson Sophia par Ben Pol

Mswaki
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi,
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi,

nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi.
Sophia Sophia nikupeleke Mpunguzi, ah.
Sophia Sophia nikupeleke na Mvumi, ah.
Sophia Sophia nikupeleke na Mazengo, ah.
Sophia Sophia nikupeleke Mkuhungu.
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi,
nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi,
nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi.
Sophi wangu mi nilizaliwa Tanzania kanda yakati, ah.
makao makuu twende pamoja tukauone uzuri wa nchi.
Ndugu zangu wa Makole wakarimu wapole
wanataka wakuone kabla kurudi Dar.
Wakupatie karanga zabibu na uhemba
Lazima uwakumbuke ukifika Dar.
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi,
nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi,
nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi.
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai

Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)