Paroles de la chanson Samboira par Ben Pol

Chanson manquante pour "Ben Pol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Samboira"

Paroles de la chanson Samboira par Ben Pol

mhh mhh iye iye iye iyeee
mhh mhh mhh mhh
asubuhi tu kukicha, mi nazianza pilika

mchana kutwa kutafuta, nikutunze langu ua
na uzuri ulonao, nakuacha nyumbani peke yako
roho inaniuma mwenzio, natamani nishinde kando yako
na uzuri ulonao, nakuacha nyumbani peke yako
roho inaniuma mwenzio, natamani nishinde pembeni yako
mi napata homa, jioni na watu ukisimama, mh
na roho inaniuma, sokoni kurudi umechelewa
mi napata homa, jioni na watu ukisimama
na roho inaniuma, sokoni kurudi umechelewa
samboira kuruse, sumu kanee viu ya kutali
jichunge mama, katu sitopenda, nikukose mpenzi we
samboira kuruse, sumu kane viu ya kutali
jichunge mama, katu sitopenda, nikukose mpenzi we
ushajua mi nakujali sana, ndo maana moyo wangu unaniuma
nakuomba kipenzi chunga sana, maana wapo wasopenda kutuona
ushajua mi nakujali sana, ndo
maana moyo wangu unaniuma
nakuomba kipenzi chunga sana, maana wapo wasopenda kutuona
wakijipitisha kutwa kucha, uwaambie kwangu umeshafika
usidanganyike na zao pesa, pamba na magari ni vya kupita
wakijipitisha kutwa kucha, uwaambie kwangu umeshafika
usidanganyike na zao pesa, pamba na magari ni vya kupita
s amboira kuruse, sumu kane viu ya kutali
jichunge mama, katu sitopenda, nikukose mpenzi we
samboira kuruse, sumu kane viu ya kutali
jichunge mama, katu sitopenda nikukose mpenzi we
samboira kuruse, sumu kane viu ya kutali
jichunge mama, katu sitopenda, nikukose mpenzi we
samboira kuruse, sumu kane viu ya kutali
jichunge mama, katu sitopenda, nikukose mpenzi we

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment