Paroles de la chanson Moyo Mashine par Ben Pol

Chanson manquante pour "Ben Pol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Moyo Mashine"

Paroles de la chanson Moyo Mashine par Ben Pol

Najua kukikucha ntajuta kama nikikuta unanitania
Maana moyo wangu nimekupa uweke
Mimi ni mfungwa tena ni mjinga

Nimejileta gerezani
Tena sikuwaza ntakuwa mateka
Mmh

Najua ulinizungusha sana
Sijali huwa ni mambo ya ujana
Kukupenda wewe sijuti
Maneno yalisemwa mengi sana
Kuna wakati nilikata tamaa
Kukupenda wewe sichoki

(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosa
(Acha waseme)
Nimekupendea nini
(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosaga
(Wacha waseme)
Nimekupendea nini

Nafsi inanituma upendo uko nje ya maneno
Ila vitendo
Kama bubu akipenda atanena vipi kwa maneno
Pasina vitendo?
Kiziwi, hata ukimwambia "nakupenda" wala hasikii
Ila vitendo oh
Wewe sijui sababu za kukupenda
Siwezi sema, ila utaona ah

Najua ulinizungusha sana
Sijali huwa ni mambo ya ujana
Kukupenda wewe sijuti
Maneno yalisemwa mengi sana
Kuna wakati nilikata tamaa
Kukupenda wewe sichoki

(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosa
(Acha waseme)
Nimekupendea nini
(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosaga
(Wacha waseme)
Nimekupendea nini

Oh kama moyo ulisimama nlipokuona
Hukuongea, hukucheka, nilikuona tu
Na tabia sikufahamu, labda niache mwanadamu
Ukipenda usishangae ni upofu wa moyo
Kumbe moyo ulinirubuni, hukusema umependa nini

(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosa
(Acha waseme)
Nimekupendea nini
(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosaga
(Wacha waseme)
Nimekupendea nini

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment