Paroles de la chanson Maumivu par Ben Pol

Chanson manquante pour "Ben Pol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Maumivu"

Paroles de la chanson Maumivu par Ben Pol

First time nilipenda nikajiona nimefika,
Nikajua sitotendwa machozi yasinge nitoka,
Nikajihadaa nikajawa na furaha,

Mwishowe kushituka nimezimia balaa,
Kaniacha ingawa alijua kabisa,
Pasi na penzi lake mimi sina maisha,
Akaniumiza nikadhoofika,
Nikajifariji na siku zikapita,
Nakumbuka nikasema sitokuja penda tena,
Baada ya miaka kupita nikajiona nishapona,
Nikayasahau maumivu ya nyuma,
Na nikajikuta nishapenda tena,
Sikuamin kabisa kilichotokea tena,
Machozi ya mapenz kunibubujika tena,
Ikanifanya nasema sitaki kuumizwa tena tenaaa...,
Wengine mbona wanajali upendo,
wengine mbona waumiza tuuu,
wengine nawapatia langu penzi wakalivunja na kuacha vidonda,
wengine mbona wanajali upendo,
wengine mbona waumiza tu,
wengine nawapatia langu penzi wakalivunja na kuacha vidonda,,
Kila ajaye hunitumia na kwenda zake, hathamini uhitaji wa moyo wangu kwake,
nami nmekua kulia na kupona kila siku bora kutopenda tena,
Najua ni vigumu kuishi bila pendo,
Lakini bora hivo kuliko machozi,
Sijui labda mi nina mkosi gani?,
Wengine mbona wafurahi penzini?

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment