Paroles de la chanson Sawa par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sawa"

Paroles de la chanson Sawa par Aslay

Umechezea kamari moyo wangu 
Umezitia dosari hisia zangu
Sinuni sicheki nalia na Mungu wangu
Nasepa na kufuli ghetto kwangu 
Milango iko wazi 

Najuta kukujua yoyo
Umeniacha na simanzi
Natetema naungua mgongo
Wapi mapaparazi

Wanaotaka kunijua yoyo
Umeniachia shazi
Na watoto wanalia nyumbani

Umenipa funzo 
Mapenzi yamenikong'ota
Umeivunja nguzo 
Leo nyumba inabomoka

Basi sawa, sawa sawa
Yatapita haya, sawa sawa
Oh sio vibaya, sawa sawa
Kidole kimoja kuvunja chawa, sawa sawa

Nikawa najipa moyo
Utarudi hata kesho
Mwenzangu ukaniona kituko
Kichekesho

Mfupa kumpa kibogoyo
Sawa ka unampa mateso
Ila na we kumbuka 
Kuna aliyeona kesho, sawa

Umeniacha gizani mama
Alafu mbele sioni mama
Hivi nilie na nani mama
Maana naumia moyonii 

Umenipa funzo 
Mapenzi yamenikong'ota
Umeivunja nguzo 
Leo nyumba inabomoka

Basi sawa, sawa sawa
Yatapita haya, sawa sawa
Oh sio vibaya, sawa sawa
Kidole kimoja kuvunja chawa, sawa sawa

We mchuchu nichukie, sawa sawa
Nitakuja nitulie, sawa sawa
We si ndege nidonyoe, sawa sawa
Makusudi nikomoe, sawa sawa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment