Paroles de la chanson Natiririka par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Natiririka"

Paroles de la chanson Natiririka par Aslay

Iye
Lalalalala..
Lololololo..
Mmmmmhhh...

Sina nguvu ya kuleta matala
Mi kwako fala,
Sijiwezi hata kidogo
We nipige hata kwenye hadhara
Mi bado fala,
Sikuachi hata kidogo

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka
Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh)
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Simba nimekuwa farasi mnyonge
Bouncer anaepelekwa puta na mende
Yuko wapi mganga wako niende
Nataka nimpeke zawadi kilinge atulie

Na nilikuwa mkata
Ila kwako kidomodomo
Nimekataa nimekataa
Na nilikuwa matata
Ila kwako mtoto
Natamba natamba

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka
Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh)
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Natiririka natiririka
Mama natiririka
Mzani umezidiwa kilo kilo
Natiririka natiririka  mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika natiririka
Natiririka  natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Punguza dozi utakuja niua mwana wa mwenzio
Unanipeleka mperampera

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment