Paroles de la chanson Nashangaa par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nashangaa"

Paroles de la chanson Nashangaa par Aslay

Nitunze kama moto na jicho lako maa 
Sitokufanya vii utamu ukitafuna
Iweke mdomoni kila ukisema
Ghetto liwe VIP lipambe kwa mishumaa

Ongeza upole wako bae mama
Usiniudhi usije niacha mazima mama
Mwenzako chizi wa mapenzi
Usinibughudhi ukaja kupata lawama bwana

Nipe nyama ya kasa
Ukikosa papa samaki nipatie ngisi
Saa ya nini limbwata
Na nishaapa wengine hawana nafasi

Umenisafisha nilipochafuka
Walahi sikuachi
Mi ni kuku wako nalitafika
Ya nini manati?

Hivi mpenzi umenipa nini? (Nashangaa)
Na kama dawa hio dawa gani? (Nashangaa)
Mbona kupenda kwangu sio kawaida (Nashangaa)
Unanipa furaha nasahau shida (Nashangaa)

Mwanamke sura nidhamu shule
Wasione naringa siringi bure
Mi mgonjwa matibabu bure
We ndo mganga wangu njoo tupige ndeni

Alama, alama
Chunga tusije vunja kitanda
Na dada, na banda
Mvishe suti Martin Kadinda 

Ongeza upole wako bae mama
Usiniudhi usije niacha mazima mama
Mwenzako chizi wa mapenzi
Usinibughudhi ukaja kupata lawama bwana

Umenisafisha nilipochafuka
Walahi sikuachi
Mi ni kuku wako nalitafika
Ya nini manati?

Hivi mpenzi umenipa nini? (Nashangaa)
Na kama dawa hio dawa gani? (Nashangaa)
Mbona kupenda kwangu sio kawaida (Nashangaa)
Unanipa furaha nasahau shida (Nashangaa)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment