Paroles de la chanson Mchepuko par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mchepuko"

Paroles de la chanson Mchepuko par Aslay

Unapoelekea mchepuko wangu 
Unanichosha mwenzenu
Wa kumliza liza mke wangu
Jamani unanichosha mwenzenu

Hata kama niko nawe kimwana
Utulivu unatakiwa
Mimi bado nina mwenyewe kimwana
Utulivu unatakiwa

Unamrusha roho kwanini?
Unamtambia amekosa nini
Unaharibu hivyo, nyumbani
Ananililia kila siku mimi

Na unajua kumwacha siwezi 
Kanizalia watoto mwenzako
Nguvu za kushaua unaharibu kichizi
Unanipa changamoto mwenzako aah

Unamvalia mini akivaa dera
Unachenjigi mawig 
Hata kama sijakupa hela

Wewe una iPhone mwenzako ana Motorolla
Unashindana na Gigi 
Kwenye mabendi kutunza hela 
Vibaya hivyo

Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu

Nakupa mapesa unaninita sponsor
Unaniongopea unanikosea
Tatizo ni hicho kishepu na sura chako 
Ndo kinanipa mawazo mwenzako

Nashindwa kukuacha mwenzako
Oooh nitafilisika juu yako mchepuko

Unamvalia mini akivaa dera
Unachenjigi mawig 
Hata kama sijakupa hela

Wewe una iPhone mwenzako ana Motorolla
Unashindana na Gigi 
Kwenye mabendi kutunza hela 
Vibaya hivyo

Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu

Anakujua, anakujua
Unavyomjua mama watoto 
Atakufanyizia siku moja

Anakujua, anakujua
Unavyomjua mama watoto 
Atakufanyizia 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)