Paroles de la chanson Marioo par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Marioo"

Paroles de la chanson Marioo par Aslay

Baby nipe nkatumie
Nisipo deka kwako
Nikadeke wapi mie?

Nataka gari uninulie
Nataka pamba kali nipendeze
Na mimi wanisifie (Wanisifie)

Mi kitandani fundi
Nafanya unalia kama bundi
Uo wivu wako sipendi
Nipe pesa mi nikale tungi

Nakufundisha mapenzi
Japo una umri wa shangazi
Nakudatisha kichizi
Mpaka mume wako unamuona makuzi

Napatapata vitisho nikiwa kitaani
Mumeo anataka kuniua eti kisa nini?
Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi
Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae

Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipepese nikupe ukitakacho

Oh iyee mama
Anataka pesa hana aliniomba
Toka jana anataka sare
Aende zake kwenye ngoma mmmmhhhhh

Basi mpe
Si umependa boga penda na ua lake
Akinuna
Atafanya zifugwe listi zote

Napatapata vitisho nikiwa kitaani
Mumeo anataka kuniua eti kisa nini?
Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi
Ila akitaka ndondi aende ulingoni baadae

Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipepese nikupe ukitakacho

Ah mi ndo Mario, Marioo
Mi ndo Mario, tabibu mkubwa wa penzi lako
Mi ndo Mario, Marioo
Mi ndo Mario, tabibu mkubwa wa penzi lako

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment