Paroles de la chanson Hutegeki par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hutegeki"

Paroles de la chanson Hutegeki par Aslay

Mmh sawa, mi sio hadhi yako
Ila moyo ndo umekufa kwako
Ni mbaya izo kauli zako
Eti mimi mtungi haruki jogoo

Unanichuna chuna tu vipesa vya mkaa
Nikishakupaga vipesa duu unanikataa
Unanichuna chuna tu vipesa vya mkaa
Nikishakupaga vipesa mmh, unanikataa

Nipende ata kwa kudanganya mama
Ukiniacha sitakuja kupenda tena
Si kwa manati, si kwa mkuki
Kwa bastola yeyee

Hautegeki (Wo wo wo wowo) hautegeki
Ata kwa sila gani mama, hautegeki
Oh napata taabu wewe, hautegeki

Ulinilaza gesti
Nikapiga simu sikupati
Baby mbona mkorofi
Na kwanini unafake promise, hautegeki

Na jinadi nikiwa na wenzangu
Kwamba we ndo mke wangu
Ila anajua Mungu
Shida nazopata

Kwako wewe wewe
Aki ya Mungu nadata
Kwako wewe wewe
Nishakupa unachotaka

Mara unanitukana
Ukiwa na wenzako unataka sifa yaani
Sababu kidogo unataka tugombane
Izo tabia za samahani honey tutakosana

Unanichuna chuna tu vi pesa vya mkaa
Nikashupaga pesa tu unanikataa
Unanichuna chuna tu vi pesa vya mkaa
Nikishakupaga vipesa mmh unanikataa

Nipende ata kwa kudanganya mama
Ukiniacha sitakuja kupenda tena
Si kwa manati, si kwa mkuki
Kwa bastola yeye

Hautegeki (Wo wo wo wowo)
Hautegeki
Ata kwa silaha gani mama
Hautegeki
Oh napata taabu wewe
Hautegeki

Mara kunitukana
Ukiwa na wenzako wataka sifa yaani
Sababu kidogo unataka tugombane
Izo tabia za samahani honey tutakosana

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment