Paroles de la chanson Hauna Cover (Aslay) par Anjella

Chanson manquante pour "Anjella" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hauna Cover (Aslay)"

Paroles de la chanson Hauna Cover (Aslay) par Anjella

Wo wo wo
Yeah yeah

Ilikuwa inakuumaga ukiniona nae
Ilikuwa inakuchomaga mwanaume wewe
Ulitamani wewe ndo uwage mie
Ndo maana nilipomuacha ukaamua umuoe

We hauna, we hauna
Hauna moyo kabisa hauna
We hauna, we hauna
Ulumagiki hata kulika
Oooh wewe

Alipopika chakula
Ulikuwa wakaa jikoni
Sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu

Kumbe kule mlikua
Mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka
Umekua gaidi juu

Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji

Aah shemeji ooh
Shemeji shemeji oooh
Kiroho upande, shemeji oooh
Shemeji shemeji oooh, kishingo upande

Mara oh tunaendana unaomba tusije kuachana
Eti unatupendaga sana kumbe ulinichora
Kumbe nyuki mwenye laana
Kaniacha manundu ya machana
Nilivyo beep ukapiga tu mapema
Ukasepa na sinyora

Kama masihara ukamvisha na shela
We mwana ni mbaya, oh ni mbaya
Sijui ulimpa dawa au ndo hela
Ila yote sawa
Mi nasema Inshallah Mungu atalipa aah

Alipopika chakula
Ulikuwa wakaa jikoni
Sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu

Kumbe kule mlikua
Mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka
Umekua gaidi juu

Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment