Paroles de la chanson Hater par Amber Lulu

Chanson manquante pour "Amber Lulu" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hater"

Paroles de la chanson Hater par Amber Lulu

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Pombe nilewe
Hujanunua unune wee
Mwingine atetenywe
Hujatekenya ucheke wee

Chenga mbili tatu
Unajikuta Ronaldo
Unazuga kimombo
Wakati kibantu tu bado

Nikikunyima wiki unachamba(Chamba)
Pombe ya madanga ushamba(Ushamba)
Nitakuponza kiranga(Ranga)
Shuga kaza kitanda(Tanda)

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Izo nge nge nge
Usilete kwangu hizo mbwe mbwe mbwe
Wataku che nde nde nde
Kwa hizo shepu zako za kisesembe

Oh la la, 
kumbe hata kwa Sango unaniendea
Kwangu sala, 
Ata kwa Mungu ninakuombea

Nikivaa nikipendeza
Roho yako inauma eeh
Nikipita natingisha
Roho yako inakunja wee

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment