Paroles de la chanson Wosia wa Magufuli par Alikiba

Chanson manquante pour "Alikiba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Wosia wa Magufuli"

Paroles de la chanson Wosia wa Magufuli par Alikiba

Mmmh mmh wouwoo ooh oh
Mi nataka niwaambie ndugu zangu, ndugu zangu
Ipo siku moja mtanikumbuka aah
Mi najua na mi najua mtanikumbuka
Kwa mazuri si mabaya eeh

Mi najua na mi najua mtanikumbuka
Kwa mazuri yeah
Kwa sababu nimesacrifice maisha yangu
Nimejitoa sadaka 

Nimesacrifice maisha yangu
Nimejitoa nimejitoa kwa nchi yangu
Watu wangu, nchi yangu

Kwa mara hio tusimame kwa pamoja 
Tusibaguane kwa vyama
Mara hio tusimame
Tusibaguane kwa vyama

Tusibaguane kwa ajili ya dini zetu
Tusibaguane hata kwa makabila yetu 
Tusibaguane kwa ajili ya dini zetu
Tusibaguane hata kwa makabila yetu
Yetu tusibaguane oh ndugu zangu 

Aiyayaiyaiya, nchi yangu
Aiyayaiyaiya, familia yangu
Aiyayaiyaiya, Tanzania
Aiyayaiyaiya

Nimesacrifice maisha yangu
Nimesacrifice maisha yangu 
Kwa ajili ya watanzania masikini

Ndugu zangu msibaguane
Ndugu zangu tusibaguane
Kwa makabila 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment