Paroles de la chanson Nichuum par Alikiba

Chanson manquante pour "Alikiba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nichuum"

Paroles de la chanson Nichuum par Alikiba

jamaniii mi nataka usaule kama mapenzi ghorofa yamedaka yako mi na mapenzi tele kama kwetu kule wanaonitaka mi wengi ila mi kwako nyang'anyang'a

Nini unataka me na miujiza nini unataka, kama macho ya bluelight sema nini unataka

nikugeuze princess sema nini unataka unavyobilinge bayoyo hivyo mi ndo natakataka sana taka

nini unataka mi namiujiza nini unataka nikugeuze princess sema nini unataka (siamini yani simini yamenipanda kichwani mahaba yako yasirisiri yamenikoleza mwilini)

mapenzi alinipa mama nami leo nakupatia tena sitaki lawama riziki yakohakuna nitakupenda sana mpaka wivu utakimbia nanitalia nawewe mi kwako nyang'anyang'a

Nini unataka me na miujiza nini unataka, kama ni macho ya bluelight sema nini unataka
nikugeuze princess sema nini unataka unavyobilinge bayoyo hivyo mi ndo natakataka sana taka
nini unataka mi namiujiza nini unataka nikugeuze princess sema nini unataka siamini yani (siamini yamenipanda kichwani mahaba yako ntasiritini yamenikoleza mwilini)

AYA
chekecha chekechua

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)