Paroles de la chanson Jike shupa par Alikiba

Chanson manquante pour "Alikiba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Jike shupa"

Paroles de la chanson Jike shupa par Alikiba

Nipeleke kwa mganga , na mimi nataka wanga
maana mapenzi yamenikoroga kinoma,
anachanje chale mwili mzima,
nisimkumbuka ata jina, yule hasidi
gaidi wa moyo wangu

haya mapenzi basi, nimeyavulia shati,
kupendwa ni ajira, namimi sina vyeti
kule kukusifia, mabaya kukufichia,
mbele ya mama, oh baba, oh mama , oh lala

mapenzi si ubondia, najikaza uku nateketea,
bora nijivue, nisijisumbue

eiii,
sasa basi , inatosha, nimekopesha mwili wangu,
bila kuogopa ,
kumbe jike shupa ,
ata kwenye karata, uku unaruka kila sehemu umeshapita,
sasa basi..

ulijidai kunipima akili  kwamizani
kuniendesha kama toy, kukosa nuru kutwaa kuzama,
ukanikinai na aibu kunitia hadharani,
kuiniona sifahi masikini nimekosa nini.

(haya mapenzi basi, nimeyavulia shati,
kupendwa ni ajira, namimi sina vyeti)X 2
kule kukusifia, mabaya kukufichia,
mbele ya mama, oh baba, oh mama , oh lala

(mapenzi si ubondia, najikaza uku nateketea,
bora nijivue, nisijisumbue) 
eiii,
sasa basi , inatosha, nimekopesha mwili wangu,
bila kuogopa ,
kumbe jike shupa ,
ata kwenye karata, uku unaruka kila sehemu umeshapita,
sasa basi

Inauma 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment