Paroles de la chanson Nitakase par Ali Mukhwana

Chanson manquante pour "Ali Mukhwana" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nitakase"

Paroles de la chanson Nitakase par Ali Mukhwana

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Hii safari ni ndefu Bwana
Nahitaji neema yako
Bwana naomba ooh
Nitawaliwe nawe

Siwezi bila wewe eeh
Siwezi bila wewe uniongoze
Nakuhitaji mwokozi wangu
Nitawaliwe na wewe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe 

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Naomba roho wako mtakatifu
Aniongoze safarini
Naomba Bwana nitawaliwe nawe
Haya mambo ya duniani
Yamekuwa mengi kuliko akili yangu Baba
Naomba Yesu uuh nitawaliwe nawe
Siwezi bila wewe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Ombi la moyo wangu
Moyo wangu wakulilia ewe Yesu
Naomba kila siku nitawaliwe nawe
Siwezi bila wewe, nitazama bila wewe
Nakuhitaji Bwana wangu nitawaliwe nawe
Unitakase Bwana

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment