Paroles de la chanson Tunaendana par Adasa

Chanson manquante pour "Adasa" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Tunaendana"

Paroles de la chanson Tunaendana par Adasa

Maradhi ya moyo yamekwisha ayee
We ndo doctor unaye nipa tiba
You are a gentleman umenikosha
Kileleni wewe hunifikisha, ayee eh

Yuko juu wewe uko mnjanja
Chali zimekolea kolea wangu mwilini
Naelewa mabusu tu chai ya mtoto mchanga
Utamu kolea kolea mmmh

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)

Hata nyota zetu (Tunaendana)
Mia kwa mia (Tunaendana)
Na tabia zetu 
Mimi na wewe 

Umewaka cheche umewaka moto
Wameshindwa kuzima
Nyota utete, tete
Nibebe nikubebe tusiachane 
Mimi wako mazima

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tunaendana (Wala siwezi kukukana)
Tunaendana (Mi nawe tunaendana)
Tunaendana (Oooh tunaendana)
Tunaendana (Mama eh eh eh)

Tunaendana (Oooh tunaendana)
Tunaendana (yea ii)
Tunaendana (Tunaendana)
Tunaendana

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tunaendana, tunaendana
Tunaendana, tunaendana
Tunaendana

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment