Paroles de la chanson Bamba par
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Ngoma imenoga iyo, iyee
Ngoma inogire iyo, iye eh eh
Funga kibwebwe ingia kati
Ngoma imenoga iyo, iyee
Ngoma inogire iyo, iye eh eh
Funga kibwebwe ingia kati
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Ucheze dancehall kama kwenye video
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Ngoma imenoga iyo, iyee
Ngoma inogire iyo, iye eh eh
Funga kibwebwe ingia kati
Ngoma imenoga iyo, iyee
Ngoma inogire iyo, iye eh eh
Funga kibwebwe ingia kati
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
(Nitaona we do it like that)
Sweet sweet ooh beiby give me some more
Sweet sweet moyo wangu naye ndo
Unanikomesha kinoma noma
Unanipa homa
Fikra zote zimezima zima
Unanicontrol
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Nitaona we do it like that
Hata kama ni nikupe wine
Twende chumbani
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video
Sakata bamba, sakata bamba leo
Ucheze dancehall kama kwenye video