Paroles de la chanson Uwapende Sana par Q Chief

Chanson manquante pour "Q Chief" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Uwapende Sana"

Paroles de la chanson Uwapende Sana par Q Chief

Ondoa mashaka eeh, leo sio juzi
It doesn't matter yaaya yeah yeah
Kikubwa pumzi, keep moving
It doesn't matter yaaya yeah

Unachotaka usisahau ukikipata
Ukipata usisahau kunao
Kumbuka ni Mungu juu ya vyote

Tazama juu, utaiona nuru
Baba God, Baba God, Baba God
Baba God Jerusalema

Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah
Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah

Mpatie chumvi jirani
Usisubiri shukurani
Usiwe kikisirani 
Ukayaweka moyoni kifuani

Cha mwengine usitamani
Hatuwezi kufanana
Ndivyo ilivyo duniani
Jitihada tafuta utapata

Unachotaka usisahau ukikipata
Ukipata usisahau kuna o
Kumbuka ni Mungu juu ya vyote

Tazama juu, utaiona nuru
Baba God, Baba God, Baba God
Baba God Jerusalema

Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah
Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah

Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment