Paroles de la chanson Hukumu par Guardian Angel

Chanson manquante pour "Guardian Angel" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hukumu"

Paroles de la chanson Hukumu par Guardian Angel

Ni rahisi kwa daktari kutoa tiba kwa mgonjwa apone
Kasha mwenyewe apate magonjwa kama yale yale aage
Nirahisi kwa mchungaji kuombea mwenye dhambi aokoke
Kisha mwenye we apate majaribu kama yale aanguke
Ni rahisi kuona kibanzi ndani ya jicho la mwenzako
Wakati wewe mwenyewe una boriti ndani ya jicho lako

Kutoa hukumu, Kwa wenzetu
Ni kawada ya binadamu
Tunasahau kila mmoja
Ana madhaifu mbali mbali
Aliye na haki
Kutoa hukumu
Ni mwenyezi mungu pekee
(Aliye na haki
Kutoa hukumu
Ni mwenyezi mungu pekee)

Kuna tofauti kati ya kukosoana na kuhukumiana
Kuna wengine mpaka wanapitiliza wanatukanana
Instead of judgment let's correct each other with love
Let's correst each other with love
Acha tukosoane kwa upendo oooh

Kutoa hukumu, Kwa wenzetu
Ni kawada ya binadamu
Tunasahau kila mmoja
Ana madhaifu mbali mbali
Aliye na haki
Kutoa hukumu
Ni mwenyezi mungu pekee
(Aliye na haki
Kutoa hukumu
Ni mwenyezi mungu pekee

Aliye na haki
Kutoa hukumu
Ni mwenyezi mungu pekee)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment