Paroles de la chanson Mbali Sana par Beda Andrew

Chanson manquante pour "Beda Andrew" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mbali Sana"

Paroles de la chanson Mbali Sana par Beda Andrew

Nalikuwa sijiwezi
Unyonge ulinielemea
Sikuwa na tumaini
La mbele kuendelea
Imani ilififi, sikuona kabisa
Kama moja ya nyenzo ilyotikisika
Nalikosa tabasamu usoni
Tegemeo sikuona maishani

Nikashindwa endelea mbele
Hali iliyofanya nikwame Kule
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru sana
Ulikonitoa mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Nashukuru bwana
Uliona haiko shwari Mimi kupotea njia
Sijui ni namna gani uliwaza ukanihurumia
Na nilifanania jangwa mvua kutonyeshea
Nami mche mbichi maji yalinikaukia
Shida mateso Sina tena yamewekwa nyuma
Mimi wa Yesu mwingine Sina wa kunirudisha nyuma
Wakati wa kuokolewa umekubalika
Kwa haki na ushupavu wake ukatimizika
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru bwana
Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Kwenye mateso Kule
Mbali sana
Nalionelewa
Ukanisaidia
Mbali sana
Eeeh mbali eeeh
Mbali sana
Ulikonitoa bwana wewe
Nashukuru wewe
Nashukuru bwana
Naah naah
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment