Paroles de la chanson Sina par Zee

Chanson manquante pour "Zee" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sina"

Paroles de la chanson Sina par Zee

Naalia mambo ni mengi
Sipati jibuu
Naumia visa ni vingi
Maajaribuu

Silali(Haiya)
Nasinziaa kutwa nawaza waza
Hatarii nitajifia
Yaani nawaza waza

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi 
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina

Hivi ni nani mwenye penzi 
La dhati nimpokee(Nimpokee)
Aso kisirani nikivunja
Masharti atanisamehe(Atanisamehe)

Kama yule Sesi na Juma
Hamisi na Mwajuma, wana enjoy 
Asiwe kapasta na suma
Chaku nunanuna, sitaenjoyy

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi 
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)