Paroles de la chanson Samahani par
Samahani hunijuwi samahani
( Samahani )
Samahani sikujuwi samahani
( Samahani )
Sasa mbona unaniongelea
( Samahani )
Sasa mbona unanisogelea
( Samahani )
Sasa mbona unaniomba beer
( Samahani )
Sasa mbona unaniangalia ah!
( Samahani )
Samahani una bei gani
( SAMAHANI )
( Samahani )
Samahani sikujuwi samahani
( Samahani )
Sasa mbona unaniongelea
( Samahani )
Sasa mbona unanisogelea
( Samahani )
Sasa mbona unaniomba beer
( Samahani )
Sasa mbona unaniangalia ah!
( Samahani )
Samahani una bei gani
( SAMAHANI )
Kwani naongea na nani
( SAMAHANI )
Nimesahau Ex wangu ni nani
( SAMAHANI )
Turudiane ulikuwaga zamani
( SAMAHANI )
Samahani sihitaji kushare
( SAMAHANI )
Samahani sitaki umbea
( SAMAHANI )
Samahani kama nawakosea aah
( SAMAHANI )
Ni kweli nitawaona munawafokea
( SAMAHANI )
Nikiwa na pesa kama nawakwaza
( SAMAHANI )
( SAMAHANI )
Nimesahau Ex wangu ni nani
( SAMAHANI )
Turudiane ulikuwaga zamani
( SAMAHANI )
Samahani sihitaji kushare
( SAMAHANI )
Samahani sitaki umbea
( SAMAHANI )
Samahani kama nawakosea aah
( SAMAHANI )
Ni kweli nitawaona munawafokea
( SAMAHANI )
Nikiwa na pesa kama nawakwaza
( SAMAHANI )
Kama kudanga kwani me wakwanza
( SAMAHANI )
Nitakulipa vyuma vimekaza
( SAMAHANI )
Dj anzisha kwanza
( SAMAHANI )
Don't touch me utanichafua
Brand kama hii wewe uwezi nunua
Nasema don't touch me utanichafua
Brand kama hii we uwezi nunua
( SAMAHANI )
Samahani hunijuwi samahani
( Samahani )
Samahani sikujuwi samahani
( Samahani )
Samahani hunijuwi samahani
( SAMAHANI )
Samahani sikujuwi samahani
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniongelea
( Samahani )
Sasa mbona unanisogelea
( Samahani )
Sasa mbona unaniomba beer aah!
( Samahani )
Sasa mbona unaniangalia ah!
( SAMAHANI )
Samahani usipige simu usiku
me na wewe tulishaachana
( SAMAHANI )
Samahani usinitext usibipu kujifanya
( SAMAHANI )
Samahani sikujuwi samahani
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniongelea
( Samahani )
Sasa mbona unanisogelea
( Samahani )
Sasa mbona unaniomba beer aah!
( Samahani )
Sasa mbona unaniangalia ah!
( SAMAHANI )
Samahani usipige simu usiku
me na wewe tulishaachana
( SAMAHANI )
Samahani usinitext usibipu kujifanya
unanijuwa sana
( SAMAHANI )
Kumbe mpenzi wako ndo yule
( SAMAHANI )
Sikujuwa jana nililewa
( SAMAHANI )
Alisema atanipa bure eeh
( SAMAHANI )
Nilipeleka moto sikuchelewa
( SAMAHANI )
Samahani Lulu nakupenda
( SAMAHANI )
Kiukweli siwezi kuficha
( SAMAHANI )
Ndio mana ulivyonipa denda
( SAMAHANI )
( SAMAHANI )
Kumbe mpenzi wako ndo yule
( SAMAHANI )
Sikujuwa jana nililewa
( SAMAHANI )
Alisema atanipa bure eeh
( SAMAHANI )
Nilipeleka moto sikuchelewa
( SAMAHANI )
Samahani Lulu nakupenda
( SAMAHANI )
Kiukweli siwezi kuficha
( SAMAHANI )
Ndio mana ulivyonipa denda
( SAMAHANI )
Video zetu nikazivujisha samahani
Don't touch me utanichafua
Brand kama hii we uwezi nunua
Nasema
Nasema don't touch me utanichafua
Buti kama hili we uwezi nunua
SAMAHANI
Samahani hunijuwi samahani
( Samahani )
Samahani sikujuwi samahani
( Samahani )
Samahani hunijuwi samahani
( SAMAHANI )
Samahani sikujuwi samahani
( SAMAHANI )
Don't touch me utanichafua
Brand kama hii we uwezi nunua
Nasema
Nasema don't touch me utanichafua
Buti kama hili we uwezi nunua
SAMAHANI
Samahani hunijuwi samahani
( Samahani )
Samahani sikujuwi samahani
( Samahani )
Samahani hunijuwi samahani
( SAMAHANI )
Samahani sikujuwi samahani
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniongelea
( SAMAHANI )
Sasa mbona unanisogelea
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniomba beer aah!
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniangalia ah!
( SAMAHANI )
SAMAHANI
SAMAHANI
SAMAHANI
SAMAHANI
Don't touch me utanichafua
Brand kama hii we uwezi nunua
Nasema
Nasema don't touch me utanichafua
( SAMAHANI )
Sasa mbona unanisogelea
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniomba beer aah!
( SAMAHANI )
Sasa mbona unaniangalia ah!
( SAMAHANI )
SAMAHANI
SAMAHANI
SAMAHANI
SAMAHANI
Don't touch me utanichafua
Brand kama hii we uwezi nunua
Nasema
Nasema don't touch me utanichafua
Buti kama hili we uwezi nunua
SAMAHANI
SAMAHANI